Tanzanian champions,
@yangasc1935
have won a treble. They won the Tanzanian Premier League, Tanzania FA Cup and Community Shield.
CONGRATULATIONS TANZANIAN GIANTS 🏆🏆🏆
🇹🇿
@yangasc1935
's Fiston Mayele is the 2022/23
#TotalEnergiesCAFCC
top scorer with 7 goals! 🔥 and 2022/2023 NBC premier league top score with 17 goals 🙌
YOU CAN CALL HIM 😬FISTON KALALA MAYELE MKANDAJI🙌
Baada ya kumbato la Jana pamoja na kusukumwa na mlinzi 🙌🙌🙌😂 kumbato limempa faida ya kupata mualiko ikulu na kapiga picha na Diarra kwa uhuru nyie😂😂😂dada anapambn huyu.
Maneno ya aliyoongea GSM kweny mkutano wa yanga si mkutano bali ni bungee la kimataifa😂👇
NILIWEKEZA YANGA MWANZO WA MSIMU BILLION 40 BAADAE NIKAONGEZA BILLION 20 JUMLA NI BILLION 80.
Mwisho wa kunukuu.
Huyu dada unadhani ni kwa nini wafanya biashara wenzie wanamchukia sana???
Video zipo kweny comments.
Na swali jingine je? Ni kwanini bidhaa zilizopo dukani kwake hatangazi kama anavyotangaza zingine??
Yaan hapost kwa bei ya jumla?
Yanga itachangamka kwelikweli😂😂😂😂hapa kuna msemaji wa yanga na meneja wa vyombo vya habari na mawasiliano.
Manara anamaliza adhabu yake hivi karibuni. Kabakisha mwezi mmoja na week tu🫠
JAMAA ANATAKA
1.Ukapteni
2.Acheze dakika 90
3.Aishi nje ya kambi
4.Pesa ya usajili iingie yote
5.Mazozini siku tatu kabla ya mechi
Vinginevyo anaomba aondoke kwa amani.