Mimi saa hii nikiwin hiyo jackpot ya 200 million napea mamangu 1200 aclear deni za chama, nibuyie mzae mzinga ya captain alafu nipee mpoa wangu mia saba atafute boy mwingine na waanze maisha mpya alafu sasa nitoke hizi streets muone my true colours yenye imefichwa na umaskini 😂