Human Rights Activist & Trainer on Media and National Development Issues|Tanzania's Woman of Courage Award Recipient 2010|TAMWA Executive Director 2001-2012
Thank you to my new Twitter followers. Welcome to my page dedicated to advocating for human rights, gender equality, media freedom and citizen-centred development. May God bless us in our continued efforts to build our nation, Tanzania.
Mgombea mmoja wa Urais tumemsikia akisema AKISHINDA hatapeleka maendeleo ktk maeneo ambayo wananchi watachagua Wabunge na Madiwani wasio wa chama chake.
๐๐พJe fedha za kuleta maendeleo si za kodi wanayolipa wananchi?
๐๐พJe amesahau Tz ni nchi ya vyama vingi?
Leo Jumanne 03 112020 kwa AMANI nimesimama eneo la MAHAKAMA KUU jijinii Dar nikatokwa chozi nilipomkumbuka J.K. NYERERE alivyotuasa Watanzania kuhusu umuhimu wa VIONGOZI BORA wanaotokana na ridhaa ya wananchi.
๐๐พLeo watu wanajipa uongozi kwa wizi wa kura?
Leo Jumatatu 02/11/2020 nimesimama๐๐kwa AMANI katika ardhi ya nchi yanguTanzania eneo la mtaa wa Samora jijini Dar es Salaam kumkumbuka Baba wa Taifa J.K.NYERERE kwa kukataa nchi yetu kupata viongozi kwa kura feki zilizopigwa nje ya SANDUKU HURU la KURA.
Dkt Abbas,Rais Tanzania SSH amesema vyombo vya habari viivyofungiwa vifunguliwe.
๐๐พWewe umeibuka na kusema ni vyombo fulani tu.
๐๐พ Mbona unakwenda kinyume na maagizo ya Rais?
๐๐พWewe kitaaluma ni mwanahabari kwa nini umeamua kuwa adui wa vyombo vya habari ?
Mkurugenzi wa NEC Dkt Mahera.
๐๐พWatz tunakukumbusha kuwa polisi wanalipwa mishahara kwa kodi za wananchi.
๐๐พMabomu yananunuliwa kwa kodi ya wananchi
๐๐พHuoni kuamuru polisi wapige mabovu wananchi kwenye kampeni unapunguza kura za Rais JPM?
@TumeUchaguziTZ
WATANZANIA eee!
๐๐พOndoeni AKILI kwenye MABOKSI ya vyama vyenu muwe HURU kama mimi NISIYE na chama
๐๐พMuweze kuona HATARI inayoinyemelea TZ
๐๐พMAMLAKA ya wananchi YAMEPORWA
๐๐พUshahidi ni NEC kuwapa watu UONGOZI kwa KURA za MABEGI๐
๐๐พUuuwi NAILILIA nchi yangu!
Watumishi NEC kumbukeni:
๐๐พTz si mali yenu na si mali ya KIONGOZI yeyote aliyeko madarakani, ni mali ya Watz wote.
๐๐พMnaendesha shughuli za uchaguzi kwa niaba ya Watz na si kwa niaba ya KIONGOZI yeyote.
๐๐พMsipotenda HAKI mnawachokoza Watz
@TumeUchaguziTZ
UAMUZI WA MAHAKAMA KUU
Tunamshukuru Mungu Mahakama Kuu DSM IMERUHUSU raia wa Tanzania kufungua shauri la kupinga Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) kusimamia uchaguzi wa wenyeviti wa Vitongoji, vijiji na Mitaa .
"Hakuna asiye mpinzani Tz..CCM ni mpinzani wa vyama vingine na vyama vingine ni mpinzani wa CCM.asiye mpinzani hajazaliwa..asiye mpinzani ni mtu aliyekufa..upinzani unaleta maendeleo..upinzani unachochea fikra mpya..hivyo maendeleo ni uasi" Askofu Dkt Bagonza
MAAJABU Tanzania 2020:
Kama maneno๐ni yako Mhe Samia Suluhu ukiwa ni mwanamke kiongozi ngazi ya juu Serikali ya CCM basi Watz tujiandae kushuhudia NGUVU ya Mungu 28/10/2020.
๐๐พHaijawahi kutokea Tz mwanamke kutangaza hadharani atashiriki KUPORA umma KURA
Chombo chochote cha habari Tz ambacho Jumatatu 27072020 hakikutangaza kurejea nchini Tundu Lissu kutoka Ubelgiji kwenye matibabu baada ya kushambuliwa na WASIOJULIKA Septemba 2017 kitakuwa kimeshindwa kutekeleza wajibu wa Kikatiba kwa umma.
@Katiba_Tv
SOMO KUU
Hili sakata la Viti Maalum CHADEMA liwe fundisho kwetu Watz kwamba:
๐๐พWengi walioko kwenye vyama vya siasa vya upinzani kama kilivyo chama tawala, kikubwa wanachopigania ni madaraka na kuchuma fedha na siyo maslahi mapana ya TZ na Watanzania wote.
UCHAGUZI Tanzania
๐๐พWakati chama kimoja HAKUNA mgombea alipita bila kupingwa.
๐๐พSasa vyama vingi 2020 Watz tumeshuhudia NEC ikisema baadhi ya wagombea ubunge CCM wameshinda bila kushindanishwa wala kupigiwa kura na wananchi.
๐๐พJe watakuwa wawakilishi wa nani?
HAKI huinua Taifa. Mungu wetu Mtakatifu tunakuomba SIMAMA wewe mwenyewe HAKI itendeke kila hatua ili tarehe 28 mwezi huu wa Oktoba mamilioni ya Watanzania tuweze kuchagua viongozi bora wa kuliongoza Taifa lako hili teule kwa kipindi cha 2020-2025
Tofauti ya Serikali wakati wa Mwalimu Nyerere na sasa:
๐๐พSerikali ya Nyerere Bunge likivunjwa Wizara ziliongozwa na Makatibu Wakuu hadi Bunge lingine lipatikane.
๐๐พZama hizi mpya Bunge likivunjwa Mawaziri wako kazini hadi uchaguzi mwingine. Je ni sawa?
Kazi Kuu ya Serikali duniani kote ni kulinda usalama wa watu wake wote.
๐๐พKatiba ya Jamhuri yetu Ibara 33(2) Rais ni Kiongozi Mkuu wa Serikali.
๐๐พRais wetu Dkt JPM, Watz TUNAKUOMBA Serikali ituondolee hofu ya 'wasiojulikana'.
@Katiba_Tv
@MagufuliJP
Jambo moja la AIBU katika nchi yetu ni kwamba WANASIASA wanapewa heshima na umuhimu mkubwa sana nchini kwetu TZ kuliko taaluma yoyote ile. Siku Watz tutaanza kutambua mchango watu wasio wanasiasa na kuwapa tuzo stahiki nchi itapiga hatua kubwa ya maendeleo
Mwenyekiti Tume ya Taifa Uchaguzi(NEC)Jaji Kaijage, NEC inapotoa maamuzi Rufaa PINGAMIZI za wagombea ubunge na udiwani izingatie haya;
๐๐พNEC isipotenda HAKI ktk kila rufaa itakuwa CHANZO cha kuvuruga AMANI Tz.
๐๐พLawama na LAANA utabeba wewe
@TumeUchaguziTZ
Mkuu IGP Sirro Mzee Butiku ametuasa tuwaambie viongozi UKWELI taifa lipone
๐๐พMwezi wa 1wa kampeni polisi walitenda HAKI hivyo AMANI ikatamalaki Tz na wagombea vyama vyote
๐๐พIGP jiulize kwanini kampeni mwezi 2 WASHINDANI wa CCM WANALALAMIKIA polisi?
@tanpol
Tanzania wapo watu wachache JASIRI wa kutetea HAKI za Watanzania. Miongoni mwao wapo waliotambuliwa na kupewa tuzo na na nchi au taasisi za kitaifa na kimataifa. Lakini jasiri wa majasiri ambaye TUZO yake imetolewa na MUNGU mwenyewe yupo hapa๐๐
Watz wengi ni WANAFIKI sana.
๐๐พMiaka 5 iliyopita wengi wakiwemo wasomi wa kiwango cha PhD walikuwa wanasifia maovu ya Serikali na kuwasakama wachache waliosimama kijasiri kukemea maovu hayo.
๐๐พHivi sasa wanafiki wako kimya wakati maovu hayo yakifichuliwa.
Rais SSH ni mtu wa HAKI. Viashiria ni:
๐๐พTayari amemuondoa DPP Biswalo ambaye amelalakamikiwa kwa ukiukaji mkubwa wa haki hasa kubambika watu kesi ambazo hazina dhamana.
๐๐พAmemsimamisha kazi DC wa Hai Sabaya kupisha uchunguzi wa tuhuma nyingi zinazomkabili.
NEC kumbukeni bila HAKI hakuna AMANI
๐๐พMbona mlitangaza haraka sana wanaume 18 wa CCM mlosema walipita bila kupingwa?
๐๐พKwa nini mnasuasua kutoa uamuzi Rufaa za wagombea wapinzani wa CCM?
๐๐พWamekosea nini au kwa vile baadhi ni wanawake?
@TumeUchaguziTZ
Mwaka 2015;
๐๐พWakati MAFURIKO yaliyoonekana upande wa vyama SHINDANI baadhi ya watu wasiofahamu athari za kuzuia mkondo wa demokrasia walidai mafuriko ni ya LOWASA
๐๐พNILISEMA mafuriko zaidi yatakuwepo 2020 kama nchi haitapata KATIBA MPYA ya Warioba๐๐.
KISHERIA kuzuia WIZI kura 28/10 NEC inatakiwa kupatia kila kituo vitabu 3 vya FOMU za KUTANGAZA MATOKEO
๐๐พFomu Urais ni Na 21A, Ubunge Na 21B na Udiwani Na 21C
๐๐พMsimamizi wakituo LAZIMA kumpatia WAKALA kila chama fomu ya matokea Urais, Ubunge na Udiwani
KESI: Tumeingia Mahakama Kuu hapa DSM saa 4 asubuhi leo 03/09/2024 kwa ajili ya kuendelea kutoa hoja za kuomba kufungua kesi kutaka Mahakama izuie TAMISEMI kusimamia uchaguzi wa wenyeviti wa Vitongoji,Vijiji na Mitaa 2024. Ni saa 10.21 bado tupo mahakamani.
Each Tanzanian must stand firm but PEACEFULY to demand fraudulent election held on 28/10/2020 be nullified.Short of that our country shall never have genuinely elected leaders in the future. My heart is bleeding to see this cruel way of rigging๐an election.
Duuu. Leo tumemzika mume wa mtoto wa dada yangu. Alipata changamoto ya kupumua wiki iliyopita. Ni kifo kilichotuachia maumivu makubwa kwa sababu marehemu alikuwa bado ni kijana ambaye watoto wake bado ni wadogo. Rest In Peace our son in law Isaack.Uuuuwii!
NEC, KURA za mabegi zimezaa mfumo VUGUVUGU(si chama kimoja si vyama vingi). Hivyo maendeleo ya wananchi ni MAUMIVU sababu mfumo utazaa
๐๐พBunge butu
๐๐พMahakama butu
๐๐พMedia butu
๐๐พNGOs butu
๐๐พVyama vya siasa butu
๐๐พTaasisi za dini butu
๐๐พUmma butu
Wakati tunakamilisha kusheherekea Pasaka nichukue fursa hii kukushauri Rais SSH hivi;
๐๐พKamwe wakati wa Urais wako usitumie nyumba za ibada kama jukwaa la kusema mambo ya Kiserikali. Epuka kuchanganya ya Mungu na ya Pilato.
๐๐พIbada yako iwe jambo la FARAGHA.
MTANZANIA,
Ukipata madaraka usijisahau,
Ukajifananisha na MUNGU,
Ukawatenda ubaya Watz wenzako.
Ukijifananisha na Mungu,
Ujuwe Mungu ANAKUSHANGAA.
Ni Mungu mwenye NGUVU.
Ni Mungu wa HAKI.
Kwake ukitenda wema utavuna MEMA.
Ukitenda ubaya utavuna MAUMIVU!
Watanzania tusipoamka usingizini na kuanza kudai Katiba Mpya itakayobadili mifumo ya utawala, fedha za kodi zetu zitaendelea kutafunwa na kikundi kidogo cha watawala miaka nenda rudi na tuendako utafunaji utashika kasi kubwa sana. Tutajuta kweli kweli.
Maandamano ya amani wananchi kupaza sauti kuhusu utawala mbovu unaofukarisha wananchi. Hapo๐ nikiwa na Mtanzania mwenzangu Saidi Sangula Gilala mwenye ulemavu wa mkono tukiwa tumeshika bango eneo la Magombeni kudai Katiba Mpya kuleta mabadiliko chanya.
Mkurugenzi NEC Dkt Mahera;
๐๐พLeo15102020 umetangaza vyama vielimishe wanachama wao jinsi ya kupiga kura kuepusha kura
๐๐พJe wapiga kura wasio na vyama wataelimishwa na nani?
๐๐พKwanini NEC isitumie vyombo vya habari kuelimisha yenyewe?
@TumeUchaguziTZ
SIKU 8 ZIMEBAKIA UCHAGUZI
๐๐พJe unafuatilia kampeni wagombea wenye NGUVU KISIASA nafasi ya Mkuu Nchi (Rais) Mbunge wako(mtunga sheria)na mfuatilia matumizi kodi yako halmashauri(Diwani)?
๐๐พUnajua KURA yako itaamua wewe uishi maisha ya RAHA au TABU 2025 -2025?
Tumekuwa hapa Mahakama Kuu DSM kuanzia saa 6 mchana tukisubiri kusomewa UAMUZI OMBI letu RAIA kutaka kuruhusiwa kufungua KESI dhidi ya Wizara ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa (TAMISEMI) kusimamia uchaguzi2024. Nisaa 9.39 haijadomwa bado
Watz tuisimamie NEC tuache KULALAMIKA.
๐๐พNEC siyo MALI ya Rais na chama chake
๐๐พWatz ndio WAAJIRI wa watumishi NEC na WOTE wanaofanya kazi ya NEC
๐๐พTUWAAMBIE NEC ama watende HAKI vinginevyo WAJIUZULU
๐๐พTusiruhusu UCHAMA/WOGA uvuruge AMANI Tz
@TumeUchaguziTZ
Hizo hoja za Spika na Rais kuhusu Serikali ya Jamhuri yetu kukopa au kutokopa fedha kutoka nje ya nchi ni mbinu tu ya kupunguza kishindo cha SAUTI ya wananchi katika kudai
#KaatibaMpyayaWenyenchi
Leo Ijumaaa 24072020 ni
#77Nyeupe
. Ni siku yetu Watanzania wote kuvaa chochote cheupe shati, gauni, kofia, viatu au hata mtandio ikiwa ni ishara ya kuendelea kudai
#TumeHuruyaUchaguzi
ambayo itasimamia kwa haki uchaguzi ili nchi yetu ipate viongozi bora.
SABAYA AWE SOMO
๐๐พWatz wanaoteuliwa RC na DC wajifunze kwa Sabaya.
๐๐พWajuwe cheo ni dhamana kinaweza kuwa baraka au laana na majuto kwao
๐๐พRais SSH hakikisha DC na RC wote wa miaka 5 iliyopita waliotenda kama Sabaya sheria inachukua mkondo wake
@SuluhuSamia
KIAPO CHA MBUNGE
๐๐พKatiba ya JMT Ibara ya 68 inasema "Kila Mbunge ataapishwa katika Bunge kiapo cha uaminifu kabla hajaanza kushiriki shughuli za Bunge"
๐๐พJe kwanini Spika Ndungai aliapisha Halima Mdee na wenzake 18 nje ya Bunge?
๐๐พJe hii si kuwadharau Watz?
Mwl. Nyerere alituasa kuwa rasilimali kuu kwa maendeleo ya nchi ni Watu, Ardhi, Uongozi Bora na Siasa safi.
๐๐พKwa kuwa Rais ndiye Kiongozi Mkuu nchini kwetu basi ndiye Rasilimali Kuu Namba 1 ktk nchi.
๐๐พJe ni kosa wananchi kuuliza alipo Rais wao?
Leo Ijumaa 31072020 ni
#77Nyeupe
kudai
#TumeHuruyaUchaguzi
.
Katika kitabu chake My Life My Purpose Mkapa anasema "Kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi inayokubalika na vyama vyote vya siasa ndiyo chachu ya kulea na kukuza demokrasia nchini"...1/2
@MariaSTsehai
Ni Jumapiili
#99Nyeupe
kukumbushia NEC kufanya kazi kama
#TumeHuruyaUchaguzi
. Kwa nini?
๐๐พUchaguz 28/10/2020 ni sawa na siku ya Uhuru wa Tannganyika 09/12/1961.
๐๐พNi siku iliyoandikwa na Mungu mwenyewe hakuna binadamu aliweza kuzuia Watanganyika kupata UHURU
Wanawake Tz, WEUSIi na WEUPE wana akili kama wanaume.
๐๐พWanatambua Watz tulikotoka tangu zama za ukoloni wa Mjerumani na Mwingereza
๐๐พWana uwezo kutathmini athari za mfumo mbovu wa utawala kwa maisha yao
๐๐พSikiliza mfano huyu๐ ananyotafsiri AMANI ya Tz.
K. Kaund Rais wa Kwanza wa Zambia, Mungu aitunze roho yake Mbinguni.Uamuzi wake kuachia DEMOKRASIA ichukue mkondo wakati Wazambia walipomkataa kupitia sanduku huru la kura ktk uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1992 naye akaheshimu, alitengeneza ZAMBIA ya leo
Vyama vikuu vitatu ACT Wazalendo, CCM na CHEDEMA vimeshazindua ILANI za Uchaguzi 2020.
๐๐พKunahitajika mdahalo wagombea Urais vyama hivyo.
๐๐พKila mgombea aulizwe akichaguliwa Serikali yake itachukua miezi mangapi kuwapatia Watz Katiba Mpya ya wananchi?
RUFAA za PINGAMIZI wagombea:
๐๐พJaji Kaijage kwa nini NEC imeamua kutotenda HAKI kwa baadhi ya wagombea vyama vinavyoshindana na CCM?
๐๐พKwa nini NEC haikuweka hadharani majina 15 walioruhusiwa kugombea na sababu za kuwakatalia hao wengine?
@TumeUchaguziTZ
I salute you Hilda. Kwa kauli hii wewe ni miongoni mwa Watz ambao siyo WASALITI wa nchi yetu. Wewe si miongoni mwa Watz wanaojali MASLAHI yao binafsi na wako tayari kupewa UONGOZI kwa KURA BATILI za begi hivyo kupora MAMLAKA ya Watz kuchagua VIONGOZI wao.
Sifahamu chochote kuhusu orodha ya majina ya Wabunge wa Viti Maalum kupitia Chadema inayosemakana kuwa imepelekwa Tume hata hivyo hata kama kweli jina langu lipo siwezi kwenda kuapishwa kuwa Mbunge maana binafsi siwezi kushiriki mchakato wa kuhalalisha haramu kuwa halali.
Kati ya viongozi wa dini waliokuta Kongamano la Amani la Viongozi wa dini lililofanyika Dar ni kiongozi huyu๐pekee ndiye katika hotuba yake alieleza kwamba chimbuko la AMANI ni HAKI na USAWA.
๐๐พKwanini viongozi wakiwepo wa dini wanaogopa kutamka HAKI?
DHAMBI
Wanadamu tunatenda dhambi kwa kujua au kutokujuwa. Lakini kama wewe ni kiongozi katika harakati za ukombozi wa mamilioni ya watu ni muhimu ujuwe kuwa KUWASALITI watu hao kwa sababu yoyote ile, ni DHAMBI ambayo ITAKUTAFUNA maisha yako yote.
KAUNDA SOMO
๐๐พUchaguzi wa vyama vingi ulipofanyika Zambia1992 Kaunda hakupata ridhaa ya Wazambia kuwa Rais wa nchi hiyo
๐๐พIngawa alikuwa na uwezo KUIBA USHINDI hakufanya hivyo
๐๐พAliheshimu DEMOKRASIA na MAMLAKA ya Wazambia kuchagua mtu waliyemtaka awe Rais.
IGP Sirro umesikia polisi wako kituo cha Sirari๐wanachokifanya kwa raia?
๐๐พJe polisi hawajui kwamba kisheria Tz ni nchi ya vyama vingi vya siasa?
๐๐พJe polisi hawajui vyama vingi vinachochea maendeleo ya Watz kwa kuwezesha nchi kupata Viongozi Bora?
@tanpol
Kituo cha polisi Sirari kinatumika kama kambi ya kutesa watu wa Chadema. Leo ni siku ya saba mkt wetu wa kata ya Sirari, Gibiche Maswi na Thomas Nyamiguri wanashikiliwa kituoni bila kupelekwa mahakamani. Wamekua wakishinikizwa kujiunga ccm lasivyo wabambikiwe kesi.
Kikundi kidogo cha wanasiasa wanaotawala nchi wajuwe kwamba nchi siyo mali yao binafsi bali ni mali ya Watanzania wote.Hivyo wanapaswa kuheshimu Katiba kama waliyoapa. Muhimu zaidi waepuke kulewa madaraka maana ulevi wa madaraka ni adui wa amani katika nchi.
Awiii TOZO zinatuumiza sana wananchi jamani:
๐๐พJioni hii nilikuwa na shs 60, 350.23 kwenye simu yangu.
๐๐พNikatoa kupia wakala shs 40,000.00
๐๐พKwenye simu yangu balance ni 9,401.23
๐๐พJumla ya Fee (Tozo?)zote 3 za kwa muamala huu shs 10,949.
๐๐พDu! Je Tutafika?
Mzee Butiku ametuasa Watz tuwambie UKWELI viongozi NCHI IPONE
๐๐พNEC mmeonyesha UDHAIFU ktk kushughulikia kwa WAKATI Rufaa za MAPINGAMIZI
๐๐พKama NEC mmechua wiki 2+ kuamua Mapingamizi itachukua siku ngapi KUTANGAZA MATOKEO KURA nchi nzima?
@TumeUchaguziTZ
Wanawake hawa๐iko siku watajuta kuingia iasa kwa lengo la kuchuma pesa. Maana mtu ukiwa duniani, kama utaingia kwenye siasa kwa lengo la kutafuta utajiri na madaraka na si kupigania maslahi mapana ya wananchi walio wengi ni lazima itafika mahali utaaibika.
Nimefurahia demokrasia ya uchaguzi Kenya 2022
๐๐พNitafurahi zaidi endapo Odinga๐ ATASHINDA sababu maisha yake yote ya SIASA amepigania kuwepo MIFUMO ya kujenga demokrasia imara.
๐๐พKatiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi Kenya ni MATUNDA ya HARAKATI alizoongoza.
Hapa mimi Ananilea Nkya sina chama, nikiandamana huku nikiwa nimebeba bango lenye ujumbe "Tunadai Katiba Mpya" "We demand New Constitution".
Wito wangu wa Watz wote tupiganie kwa vitendo taifa letu. HOJA za kitaifa tusikubali kubanwa na maboski ya vyama.
Kama kweli huyu anayezungumza ni Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC, Polisi mjue Watz tunasema UKWELI kwamba NEC kupendelea CCM ndo kutakuwa chanzo Namba1 kuvuruga AMANI Tz kuhusiana na uchaguzi 2020. Sikiliza๐๐
@tanpol
Huyu ndiye mkurugenzi wa sasa wa
@TumeUchaguziTZ
hii ndiyo mentality yake na mambo ya CCM sijui ilani etc
Msije sema hamjamsikia au hamkuambiwa yaani!!
Maandamano ndo shamra shamra zimeanza katika kituo cha Magomeni. Tanzania Hoyee. Ninamshukuru Mungu aliyenipa Afya njema ya kuweza kushiriki kazi hii
MUHUMU ya ukombozi ya nchi yetu.
Tanzania hoyee.
Kauli MUHIMU ya mwana CCM Mzee Butiku Uchaguzi 2020
"๐๐พWawezeshaji mchakato wa uchaguzi uwe Polisi uwe Jeshi uwe Usalama waTaifa uwe NANI.
๐๐พWapeni Watz uhuru wapige kura kwa Uhuru na kwa heshima
๐๐พYaishe yote tuliyotenda siku za nyuma nchi ni ya wananchi"
Kuna taarifa mgombea ubunge/udiwani anapochukua fomu NEC
๐๐พ Hakuna mahali NEC inarekodi kitambulisho chake, simu, chama cha siasa anachotoka na anwani anapoishi.
๐๐พKwa nini NEC ijidhalilishe maana hakuna Serikali yoyote duniani isiyoweka kumbukumbu?
Ni muhimu sote tufahamu ktk uchaguzi huru usio na rushwa, wapiga kura wengi Tz hawamchagui mtu kwa kigezo cha jinsi yake; mwanamke/mwanaume bali kwa kumwamini mgombea kutokana na ujasiri wake kutetea haki, usalama na maendeleo ya Watz wote
@MariaSTsehai
Watz MAMILIONI tunaotaabika kwa hofu na umaskini
๐๐พ Uchaguzi 2020 AGENDA yetu KATIBA MPYA ya wananchi ambayo Rasimu yake IPO TAYARI
๐๐พPiga SPANA muhonga fedha, nguo, watoa vitisho n.k kukulaghai KURA YAKO
๐๐พMaana KURAYAKO ni silaha yako kupata Katiba Mpya
Dkt Nshallah kuamua auwawe kwa
KUPINGA mkataba wa Bandari alitabiri Nyerere kwenye moja ya nukuu zake "Siku inakuja ambayo watu watachagua kifo kuliko fedheha na nawahurumia Watanzania watakaoiona siku hiyo! Na ole wao watakaoifanya siku hiyo isiepukike .."
Mungu ibariki Tanzania. Watanzania tunakushukuru wewe Mungu Mtakatifu kwa kutulelea na kumlinda mama huyu๐ ambaye utendaji wake wa kazi ya Urais kwa siku chache tu tangu aapishwe kushika nafasi hiyo unaonyesha anafahamu vema maana ya URAIS wa nchi.
Zama hizi za demokrasia ya vyama vingi vya siasa, kwa jinsi watawala wetu mbali mbali wanavyovunja Katiba inabidi kama Taifa tujiulize;
๐๐พJe kuna sababu gani Taifa letu tuendelee kutumia VITABU VITAKATIFU kuwaapisha watawala huku wakisema watailinda Katiba?
KATIBA HITAJI KUU
๐๐พKatiba yaTZ ni waraka wa MUAFAKA wa Watz kisheria,kisiasa na kiutawala juu ya namna wanavyotaka nchi yao IONGOZWE
๐๐พKatiba bora ni MSINGI imara wa maendeleo endelevu
๐๐พRaisSSH bila Katiba bora hutaweza kujenga uchumi IMARA TZ
@SuluhuSamia
Mkurugenzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt Charles Mahera, Mzee Butiku ametuasa tuwaambie viongozi UKWELI taifa LIPONE.
๐๐พWewe ni REFA Mkuu ktk uchaguzi huu.
๐๐พ Inakuwaje unazungumza๐kama mgombea wa chama fulani?
๐๐พWatz tukuelewe vipi?
@TumeUchaguziTZ
MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC: WATANZANIA WANATAKA BARABARA, HAWATAKI BLAH! BLAH!
> Dkt. Charles Mahera amesema, watanzania wanataka Afya iliyoimarika, miradi ya umeme na viongozi watakaolinda madini na sio watakaopeleka madini kwa wageni nje
Soma
#JFSiasa
Kwa haya maigizo ya wanasiasa ambayo Watanzania tunayashuhudia tangu uchafuzi wa kura batili za mabegi 28102020 ni dhahiri
๐๐พ2025 huenda idadi ya WAPIGA KURA ikapungua kwa kiasi ambacho hakijawahi kutokea ktk historia yaJMT labda kama Katiba Mpya itaandikwa
Rais wa 6 TZ Mhe.Samia.
๐๐พUlitafuta fursa ya UONGOZI wa umma baada ya KUKERWA na jinsi mawaziri walivyokuwa WANADANGANYA wananchi.
๐๐พ Serikali yako ikitenda HAKI na kuepuka UONGO na WIZI ikiwa ni pamoja na wizi wa KURA, utatunukiwa tuzo adimu duniani.
The key job of Government is to ensure security of it's people.
๐๐พThe Constitution of the URT says President is the Head of the Govt. ๐๐พWe Tanzanians appeal to you Dr JPM to ensure the Govt relieves people from fear of the so called 'wasiojulikana'
Tume ya UCHAGUZI tambua UONGOZI BORA ni RASILIMALI ya kuchochea MAENDELEO ya Watz wote
๐๐พUongozi Bora unapatikana kwa KUSHINDANISHA wagombea na SERA
๐๐พTume au YEYOTE kuzuia ushindani RUANGWA au POPOTE ni KUKWAMISHA maendeleo Tz 2020รท25
@TumeUchaguziTZ
USHAURI
Mhe Rais
@SuluhuSamia
hilisuala la mkataba tata bandari,KUKAMATA wananchi WEMA na kuwafungulia KESI za mchongo uchochezi,uhaini n.k kamwe haitaweza kuwa SULUHU badala yake ni kama kuongeza MOTO juu ya moto na WEWE ndiye utaonekana ni TATIZO.Sikiliza๐
Jambo moja ni dhahiri. Tuendako iko siku Dkt Mahera na Jaji Kaijaje watumishi waandamizi wa NEC watajutia kupora Mamlaka ya mamilioni ya Watz 2020 kuchagua viongozi wao kupitia sanduku huru la kura. Siku hiyo watakuwa peke yao na watajuwa Mungu adhihakiwi.
Kamati ya maadili NEC ni PASUA kichwa sababu:
๐๐พImepewa RUNGU kuamua ADHABU
๐๐พWajumbe wake ni wawakilishi wa vyama vinavyoshiriki uchaguzi
๐๐พHivyo vyama visivyo na nguvu vinaweza kula NJAMA kutoa adhabu KUDHOOFISHA kampeni chama chenye nguvu
@TumeUchaguziTZ
Mhe Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan.Hongera.MUNGU akutangulie utuongoze tuipateTZ Mpya 2021-25.Zingatia:
๐๐พTZ ni Mali ya Wtzwote,si mali ya chama chochote au kikundi fulani cha watu.
๐๐พSerikali yako ihakikishe UHURU, HAKI na DEMOCRASIA ya kweli itatamalaki TZ
Bibi Titi alikuwa mwanamke kiongozi shupavu aliyejitoa hadi utawala wa wakoloni mweupe dhidi weusi wengi ukakoma .
๐๐พJe ktk zama hizi za ukoloni mpya kikundi kidogo cha weusi kutawala umma wa watu weusi kwa mbinu zile za wakoloni Wazungu,TZ wapo kinaTiti leo?
Kuna kijana mmoja aliwahi kuniambia kwamba fedha nyingi na rasilimali nyingine za umma kama magari ya kifahari ambazo wanasiasa wenye madaraka Serikalini wananufaika nazo zinawafanya kudhani kwamba TZ ni mali yao binafsi.
๐๐พJe wewe unakubaliana na hoja hii?
Leo dunia imeadhimisha siku ya HAKI za binadamu. Zama zake baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere๐alionya kwamba Afrika kwa sasa ndilo bara linaloongoza kwa kuwa na viongozi wa Serikali madikteta wanaovunja haki za binadamu.
๐ Matokeo ya URAIS nchini Kenya yakitangazwa, endapo wapigania DEMOKRASIA Raila na Martha watakuwa wameshinda KIHALALI;
๐๐พ nitawaomba Watz wenzangu humu Jamhuri ya Twitter mnichangie niweze kwenda Nairobi kushuhudia sherehe za kuapishwa kwao๐๐๐
Rais wetu Samia Suluhu Hassan. Nakusalimu kwa jina la JMT. Tafadhali itikia: "Kazi nzuri ya wananchi kukosoa Serikali iendelee". Tunakumbusha kuwa:
๐๐พSerikali inayovunja Katiba haifai kuongoza.
๐๐พMfano Wabunge 19 wasio na chama ni uvunjifu wa Katiba ya JMT.
UCHAGUZI 2020
๐๐พJe kwanini polisi hawajakamata watumishi wote NEC kutokana na kupatatikana kwa KURA zilizopigwa kabla ya uchaguzi?
๐๐พNi kwanini
@tanpol
ifumbie macho KOSA KUBWA dhidi ya Jamhuri yetu?
๐๐พ Je NEC wako juu ya sheria?
@TumeUchaguziTZ
RAIS MWAMINIFU
RaisSSH huenda ni mtu mwaminifu maana hadi sasa ametudhihirishia yuko tofauti na wasio waminifu kwahaya:
๐๐พAnaheshimu Utu na Uhuru wa watu
๐๐พHaogopi vyombo vya habari na wananchi kuikosoaSerikali
๐๐พHafoki, anajieleza.
๐๐พUongozi wakeshirikishi
Kama nchi yetu ina MAGAIDI, ni kwa nini viongozi wa ngazi za juu wa Serikali watumie kodi ya wananchi kwa safari za kwenda kutafuta wawekezaji na watalii ili hali hakuna mtalii au mwekezaji atakayekuwa tayari kuja TZ kupata madhara yanayotokana na UGAIDI?
UCHAGUZI 2020 umeacha swali hili.
๐๐พJe kulikuwa na sababu gani Serikali kutumia Sh.350 bilioni KODI ya wananchi KUGHARAMIA uchaguzi ulioishia watu kujipa USHINDI kwa KURA HARAMU๐hivyo KUPORA wananchi MAMLAKA ya kuchagua VIONGOZI BORA miongoni mwa wagombea?
Spika Ndungai unapaswa kufahamu kwamba:
๐๐พ Kwa kuvunja Katiba uliyoapa kuilinda eti ili wanawake 19 waliopoteza sifa za Ubunge Kikatiba waendelee kuwa wabunge watafune kodi ya Watanzania maana yake UMELEWA madaraka kiasi cha kudharau JMT na Watz wote.
Leo Jumapili 02082020 ni
#88Nyeupe
. Pote utakapokuwa vaa cheupe ishara ya kudai
#TumeHuruyaUchaguzi
kuhakikisha uchaguzi huru ili nchi ipate viongozi bora mfano WABUNGE wenye UJASIRI wa KUISIMAMIA Serikali kutumia KODI inayokusanya kuleta maendeleo ya wote
MAWAKILI wa Tanganyika mkimchagua Adv Boniface Mwabukusi mtakuwa mmechagua Rais mwenye sifa zinazohitajika zama hizi kuhakikishaTLS inasimamia haki na heshima ya mawakiliI wote nchini na inatekeleza kikamilifu wajibu wake kwa Serikali,Mahakama na wananchi.
Maswali Rais SSH
๐๐พMtu anayefaa kuwa RC anatakiwa awe na sifa gani?
๐๐พJe CCM haina angalao wanawake 15 wenye sifa hizo?
๐๐พJe kwanini TZ imeridhia kutekeleza mpango wa dunia wa maendeleo endelevu -SDGs wakati Serikali haitaki usawa wa jinsia ktk uongozi?
Ni tarehe 09 Novemba 2023. Baadhi ya wananchi walitumia haki yao ya kikatiba kupaza sauti kuhusu mkataba wa hovyo wa bandari IGA kati ya Serikali ya Tanzania na Emirati ya Dubai, Katiba Mpya na haki ya ardhi kwa Wamasai. Soma ujumbe hapa.